close menu
Bookswagon-24x7 online bookstore
close menu
My Account
Enock Maregesi

Enock MaregesiEnock Abiud Maregesi alizaliwa nchini Tanzania katika mkoa wa Mwanza mnamo mwaka 1972, Novemba 25. Alisomea teknolojia ya habari na utawala wa biashara katika Chuo Kikuu cha Wales, na uandishi wa habari na vitabu katika chuo cha fasihi ya ubunifu chaThe Writers Bureau, nchini Uingereza. Alisomea pia sayansi ya roho ya Kabala katika Taasisi ya Bnei Baruch ya Petah Tikva nchini Israeli. Mnamo mwaka 2015 kitabu chake cha kwanza, Kolonia Santita: Laana ya Panthera Tigrisi, kilishinda Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya Fasihi ya Afrika; iliyotolewa na Chuo Kikuu cha Cornell cha New York, Marekani, na kampuni ya Mabati Rolling Mills ya Nairobi nchini Kenya. Anaishi jijini Dar es Salaam, Tanzania, anakojishughulisha na biashara na uandishi wa vitabu. Read More Read Less

4 results found
List viewGrid view
Sort By:
1.
Kolonia Santita2 % NR
No Review Yet
₹2,672
₹2,619
Binding:
Paperback
Release:
25 Jun 2023
Language:
Swahili
International Edition
Ships within 16-18 Days Explain..
Free Shipping in India and low cost Worldwide.
4.
Nukuu za Nyakati Zetu
Publisher: Lulu.com
No Review Yet
₹1,495
Binding:
Paperback
Release:
27 Jun 2020
Language:
Swahili
Out of Stock
Notify me when this book is in stockNotify Me
No more records found
ASK VIDYA